Watch here

Wednesday, March 8, 2017

Rostov kuwakabili Manchester United - Europa Ligi

Michuano ya Uefa Europa Ligi inatarajia kuendelea tena Alhamisi kwa michezo mbalimbali,Apoel Nicosia watakuwa nyumbani dhidi ya Anderlecht , FC Rostov watawakaribisha Manchester United , FC Copenhagen watacheza dhidi ya Ajax , Celta Vigo itamenyana na FC Krasnodar , Schalke itachuana na Borussia Monchengladbach , Lyon wtawaalika Roma , Olympiakos itacheza dhidi ya Besiktas , na KAA Gent ya ubelgiji watakuwa nyumbani wakiwakaribisha majirani zao KRC Genk
Ikumbukwe kuwa mnamo mwezi wa 11 mwaka 2016 wenyeji hawa wa Rostov waliinyuka Bayern Munich ya ujerumani goli 3:2 

1 comment: