Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SERIKALI imesitisha ajira zote, kama njia ya kukabiliana na wimbi la watumishi hewa. Kutokana na uamuzi huo hivi sasa hakuna nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa Serikali na wakala zake pamoja na utoaji wa vibali wa likizo ya bila malipo. Akizungumza na MTANZANIA jana jijini Dar es Salaam Katibu Mkuu Utumishi, Dk. Laurean Ndumbaro, alisema kuwa Serikali imesitisha kwa muda utoaji wa ajira, ili kupitia upya muundo wa Serikali na taasisi zake. Alisema utekelezaji wa mkakati huo utakwenda sambamba na kusitisha kwa muda utoaji wa vibali vya ajira zote mbadala pamoja na uidhinishaji wa ajira hizo zilizopo Sekreterieti ya Ajira katika utumishi wa umma na kwenye mfumo wa taarifa za kiutumishi. “Ni kweli tumesitisha kwa muda ili kupitia mfumo wa Serikali na hata kuangalia ulipaji wa mishahara kama upo katika malipo stahiki. “…na hili litakwenda sambamba na hata kusitishwa malipo ya mishahara yanayotokana na upandishwaji wa vyeo kwa watumishi. Tukimaliza zoezi hili ndipo tunaweza kuanza kutoa ajira za Serikali,” alisema Dk. Ndumbaro. Alisema muundo mpya wa utumishi wa Serikali unakwenda sambamba na uhakiki wa malipo ya mishahara, hivyo ni lazima ujue ni nani unayemlipa kuliko ilivyo sasa. Kwa mujibu wa maelekezo hayo uhamisho na uidhinishaji katika mfumo wa watumishi ambao wamehamishwa kutoka kwa mwajiri mmoja kwenda kwa mwajiri mwingine ambao atalipwa mshahara mkubwa kuliko ule wa sasa pia utaangaliwa kwa lengo la kupata taarifa sahihi za mtumishi husika. “Baada ya kukamilika kwa zoezi la uhakiki watumishi pamoja na tathmini ya muundo wa Serikali na taasisi zake, wote wataarifiwa ni lini utekelezaji utaendelea,” alisema. Taarifa kutoka maeneo mbalimbali nchini, zililiambia gazeti hili kuwa maelekezo hayo yalitolewa Juni 13, mwaka huu na kusambazwa katika maeneo mbalimbali ikiwemo kwa makatibu wakuu wote, makatibu tawala wa mikoa, kwa wakuu wa idara za Serikali zinazojitegemea. Waliotakiwa kutekeleza maelekeo hayo ya Serikali ni wakurugenzi wote wa majiji, manispaa na miji, wakurugenzi watendaji wa halmashauri za wilaya, watendaji wa taasisi za umma na watendaji wa wakala za Serikali kwa upande wa Tanzania Bara.
Watch here
Monday, June 20, 2016
Sunday, June 19, 2016
Rooney wants new deal.
Wayne Rooney prepared to end career at Manchester United.
Wayne Rooney said he was happy to extend his contract at Manchester United Wayne Rooney said he was happy to extend his contract at Manchester United Wayne Rooney would be happy to sign a new contract at Manchester United and end his playing career at Old Trafford. The 30-year-old has three seasons left on his current deal but believes he can go on for longer after former United manager Louis van Gaal moved him into a deeper central midfield role last season. Manchester United captain Wayne Rooney says he is looking forward to working with Jose Mourinho next season Manchester United captain Wayne Rooney says he is looking forward to working with Jose Mourinho next season According to the Sun on Sunday, Rooney has now said he would be willing to extend his current deal and see out his playing days at the club.
Algeria yafunga mitandao kuzuia udanganyifu kwenye mitihani
Algeria imefunga kwa muda mitandao ya kijamii kote nchini katika jitihada za kuzuia wizi wa mitihani ya shule za upili. Karibu nusu ya wanafunzi walilazimishwa kurudia mtihani huo kuanzia leo Jumapili, baada ya mtihani wa kwanza kukumbwa na udanganyifu kwa njia ya mitandao. Wanafunzi wengi walifanikiwa kupata maswali kwa njia ya mtandao wa Facebook na mitandao mingine kabla ya kufanyika kwa mtihani huo. Hatua ya kufunga mitandao ya kijamii ililenga kuwalinda wanafunzi kutokana na kuchapisha maswali yasiyo sahihi kupitia kwa mitandao hiyo.
WATOTO WA RAIS KAGAME WAICHEZEA TIMU YA RWANDA
Kwa mara ya Kwanza wanawe rais wa Rwanda Paul Kagame, Bryan Kagame na Ian Kagame waliiwakilisha timu ya taifa ya Rwanda kwa wachezaji wasiozidi miaka 20 katika mechi ya kuadhimisha miaka 22 tangu mauaji ya kimbari nchini Rwanda. Mchuano huo wa kumbukumbu, kati ya Rwanda na Morocco ulioandaliwa katika uwanja wa Amahoro, mjini Kigali ulikamilika kwa sare ya goli moja. Ingawa wote wawili hawakukamilisha mechi hiyo. Kocha wa Rwanda Kayiranga Jean Baptista aliwapa nafasi ikiwa ni mechi yao ya kwanza kuvaa sare ya timu ya taifa ya soka. Ian Kigenza Kagame alijumuishwa katika kikosi kilichoanza kabla ya kumpisha Park Udahemuka kunako dakika ya 27. Rwanda maarufu nyigu wachanga walitangulia katika dakika ya kwanza kupitia Blaise Itangishaka. Hata hivyo Morocco ilisawazisha katika dakika ya 43 baada ya Morocco Dari Achraf kumuandalia krosi Hicham Boussoufiane. Kunako dakika ya 74, Kitinda mimba wa familia ya kagame, Bryan Kagame alichukua nafasi yake Djabel Manishimwe. Baba yao wawili hao, Rais Paul Kagame ni shabiki wa soka na tenisi na ni shabiki sugu wa klabu ya Arsenal ya Uingereza.
Sunderland midfielder Emanuele Giaccherini would welcome Chelsea move, says agent
Mashabiki Wapagawa na Albam Mpya ya Beyonce
Albamu mpya ya Lemonade iliotolewa na Beyonce Knowles imeorodheshwa miongoni mwa albamu zilizopendwa sana baada ya kutolewa mwaka huu,lakini ,kipande cha albamu hiyo kilichotolewa wiki moja kabla ya uwepo wa albamu hiyo kufichwa hadi wakati wa toleo la filamu fupi lililoandamana na albamu hiyo kimezua utata. Kipande hicho cha albamu hiyo kilishirikisha msururu wa vipande vifupi vifupi vya albamu hiyo bila maelezo ,vingi vikimuonyesha Beyonce na kumalizika kwa maelezo yaliosema :Lemonade A world Permier event. Na sasa mtengezaji huru wa filamu kwa jina Matthew Fulks anadai kuwa kipande hicho kilinakili mojawapo ya kazi zake kwa jina Palinoia. Fulks anadai kwamba kampuni ya muziki ya Sony ile ya Columbia Recordings pamoja na ile ya Beyonce Parkwood Entertainment zilijua kuhusu kazi yake kabla ya utengezaji wa Lemonade ulipoanza na kwamba walishawishiwa na kazi yake. Anasema kuwa kipande hicho cha albamu ya Lemonade kinafanana na kile cha Palinoia ambayo ni kazi yake. Anaongezea kuwa baadhi ya vitu vinavyofanana kati ya filamu hizo mbili ni pamoja na michoro katika ukuta,watu wenye macho mekundu na picha zilizopigwa katika ngazi pamoja na eneo la kuegesha magri chini ya nyumba.
UEFA charge Hungary, Belgium and Portugal over Euro 2016 crowd disorder
UEFA has charged the Hungarian, Belgian and Portuguese football associations for fan disorder at Euro 2016. UEFA says its disciplinary panel will consider charges against Hungary of "crowd disturbances", throwing objects and setting off fireworks. Fans clashed with stewards and some police before Saturday's Group F game with Iceland in Marseille when trying to climb a fence to enter a section behind one goal.
Riot police then formed in lines in front of a section of Hungary fans, in the same end of the Stade Velodrome where Russians attacked England fans a week earlier. Hungary fans then lit or threw flares or firecrackers during the national anthems, when Iceland were awarded a penalty kick, and after their team scored a late goal in a 1-1 draw. The Belgian FA has been charged after a section of their fans set off fireworks and threw objects during the team's 3-0 Group E victory over the Republic of Ireland in Bordeaux on Saturday.
Messi makes history
Juventus clear path for Real Madrid to make Pogba move
Paul Pogba has Juventus' word that he can leave them at a time of his choosing so long as the buyer meets the Turin club's valuation of the France midfielder.Pogba signed his current deal, which runs to 2019, with the Italian champions in October 2014 on the understanding that, should the time come, the club would be disposed to allow him to move on.MARCA understands that any deal taking him to the Champions League holders would surely have to represent a new world record figure, just as that of Zinedine Zidane between the same clubs in 2001.Pogba and his agent Mino Raiola trust the agreement with the club, who for their part are content that the player has given all to the Old Lady having turned down the chance of earning more elsewhere to play a key role in helping them to their fifth straight Serie A success.
WENGER: VARDY WONT COME.
MHADHIRI: Mamlaka isiwatishe waandishi wa habari
Na Dotto Mwaibale
VYOMBO vyenye mamlaka vimetakiwa visiwatishe waandishi wa habari pale wanapo andika habari sahihi za kuikosoa serikali nchini badala yake viwalinde.
Hayo yalielezwa Dar es Salaam jana na Mhadhiri wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Apium Chengula wakati wa majumuisho yaliyofikiwa katika kongamano la kitaifa na kimataifa lililokuwa na mada yake kuu uadilifu wa viongozi na utawala bora katika usimamizi wa maliasili kwa ajili ya maendeleo endelevu ya Tanzania.
“Tulipitisha maazimio kadhaa kama wenye mamlaka kuvilinda vyombo vya habari vinapo andika habari sahihi za kuiokosoa serikali, kuhimiza viongozi kuzingatia maadili na kupata mafunzo ya uongozi, kuhimiza viongozi kulinda maliasili ambazo ni endelevu na kusisitiza kuwa na itikadi inayoeleweka katika kuongoza nchi” alisema Chengula.
Kongamano hilo liliandaliwa na Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kilichopo Kigamboni kwa ufadhili wa Shirika lisilo la kiserikali la Konrad Adenauer Stiftung (KAS) la nchini Ujerumani.
Chengula alisema kongamano hilo lilifanikiwa kutokana na kuwa na mada moto moto zilizohusu rasilimali za taifa na suala zima la utawala bora na kuwa lilisimamiwa na Kibweta cha Mwalimu Nyerere.
Alisema Kibweta cha Mwalimu Nyerere ni idara iliyoanzishwa chuoni hapo kwa ajili ya kusimamia masuala yote ya mafunzo ya viongozi na maadili ya viongozi iliyoanzishwa mapema mwaka jana na kuzinduliwa na Rais mstaafu Dk. Jakaya Kikwete.
“Katika kongamano hilo kuliwa na mada mbalimbali zilihusu maliasili za Tanzania na jinsi zinavyo wasaidia wananchi ambayo ilitolewa na Profesa Aidan Msafiri kutoka Chuo cha Kanisa Katoliki Mwenge, mada nyingine ikiwa ni utawala bora kuhusu mali asili changamoto na fursa zake iliyoendeshwa na Dk.Camirius Kasala kutoka Chuo cha Takwimu cha Afrika Mashariki na kuwa mada ya tatu ilihusu maendeleo endelevu katika Tanzania mchango wa utawala bora unaozingatia maadili ya uongozi bora” alisema.
Alisema Hayati Mwalimu Julius Nyerere kabla ya Uhuru 1961 alikwenda nchini Ujerumani ambapo alionana na Muasisi wa Shirika la KAS, Konrad Adenauer na kuona ni jinsi gani wataweza kusaidia kutoka mafunzo ya uadilifu kwa viongozi na tangu hapo walianzisha ushirikiano huo ambao unaendelezwa na Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere na Shirika hilo ambalo limefanikisha kudhamini kongamano hilo.
CCM Yatangaza Siku ya Kumkabidhi Uenyekiti Rais Magufuli
Na Joachim Mushi, Dar es Salaam CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) leo kimetangaza tarehe ya kumkabidhi rasmi uongozi wa chama, Rais John Pombe Magufuli ikiwa ni utaratibu wa kawaida ndani ya chama hicho. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Chama Cha Mapinduzi leo jijini Dar es Salaam kwa wanahabari, Christopher Ole Sendeka Mkutano Mkuu Maalum wa CCM utafanyika Julai 23, 2016. Alisema uamuzi wa kufanyika kwa mkutano huo umefikiwa baada ya Kikao cha Kamati Kuu ya CCM chini ya Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete kilichofanyika Ofisi Ndogo ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Alisema Mkutano huo Mkuu Maalum utatanguliwa na vikao vya sekretarieti, Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa. “…Lengo la Mkutano Mkuu huo Maalum ni kukabidhiana kijiti cha uongozi wa juu wa chama chetu kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM Dk. Kikwete ambaye pia ni Rais mstaafu wa Awamu ya Nne kwenda kwa Rais wa sasa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli kama ulivyo utamaduni wa CCM,” alisema Ole Sendeka.
Saturday, June 18, 2016
Wanajeshi wa Iraq waukomboa mji wa Fallujah kutoka kwa IS
Waziri mkuu wa Iraqi, Haider al Abadi, ametangaza kuwa mji wa Faluja umekombolewa na wanajeshi wa Serikali. Katika taarifa fupi aliyoitoa kwa runinga ya kitaifa moja kwa moja, bwana Abadi alisema kuwa makundi machache ya wapiganaji wa Kiislamu wenye itakadi kali wa Islamic State wangali Falujjah, lakini akawahakikishia wananchi kuwa watatimuliwa baada ya muda mfupi. Bwana Abadi, aliyekuwa ameandamana na maafisa wa vyeo vya juu jeshini, alisema kuwa mji wa Kaskazini wa Mosul, ambao ni ngome kuu ya Isis, ndio unaolengwa sasa na wanajeshi wake. Mapema, wanajeshi wa Iraq walikomboa mijengo ya Serikali jijini Fallujah na kupandisha bendera katika uwanja wa Serikali.
Msaada wa wanafunzi mabikra Afrika Kusini wafutiliwa mbali
Bodi moja nchini Afrika Kusini imeamua kuwa misaada ya kifedha kwa wanafunzi wa vyuo vikuu walio mabikra inakiuka sheria na inafaa kufutiliwa mbali. Baraza la mji wa KwaZulu-Natal lilianzisha fedha hizo ili kupunguza viwango vya ukimwi na mimba za utotoni. Lakini tume ya usawa wa jinsia imesema kuwa msaada huo unaowalenga wasichana mabikra pekee unabagua. Mpango huo ulizua hisia kali ulipoanzishwa mapema mwaka huu. Katika uamuzi wake baada ya makundi ya haki za kibinaadamu kuwasilisha lalama zao,Tume hiyo ilisema: Unakiuka sheria kuhusiana na heshima, usawa na ubaguzi.
CUF wamtega Prof. Lipumba
CHAMA cha wananchi CUF kimesema mkutano mkuu wa taifa ambao unategemewa kumpata Mwenyekiti wa chama hicho, upo pale pale, na kuweka msimamo kuhusu Ibrahimu Lipuma kuwa kama anataka kurejea katika nafasi yake achukue fomu, anaandika Hamisi Mguta. Tamko hilo ni kufuatia sintofahamu kwa wanachama wa chama hicho kuwa huenda mkutano mkuu usiwepo kutokana na ujio wa ghafla wa Prof. Ibrahim Lipumba aliyekua Mwenyekiti wa chama ambaye alijiudhuru cheo hicho. Shaweji Mketo, Mkurugenzi wa uchaguzi wa chama hicho amesema tayari fomu za ugombea zimeshapelekwa katika ofisi ya wilaya tayari kwa kujazwa. “kuanzia 1 Julai washiriki katika ngazi ya Mbali mbali ikiwemo Mwenyekiti wa chama pamoja na Makamu mwenyekiti wachama hicho na wataanza kuchukua fomu hadi Julai 20,” amesema. Amesema, 21 Agosti baada ya zoezi la ujazaji fomu kukamilika, wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama hicho Kitaifa watakaa kuchagua viongozi hao katika ukumbi wa Land Mark Ubungo Jijini Dar es Salaam. Lipumba alijiudhuru katika kipindi cha uchaguzi Mkuu 25 Oktoba kutokana na sababu aliyoitoa kuwa ni uwepo wa aliyekua Mgombea urais, Edward Lowassa kuwa alihamia kwenye chama kwa kutofuata utaratibu. Taarifa kutoka ndani ya chama hicho zinasema kutokana na katiba ya chama, Lipumba hatakiwi kurudi katika nafasi hiyo kwa kutengua kujiuzulu kwake ispokuwa ni kama anahitaji nafasi hiyo achukue fomu upya kugombea nafasi hiyo katika Mkutano Mkuu wa Taifa
Friday, June 17, 2016
CUADRADO SET FOR NEW CHELSEA CHANCE
New Chelsea manager Antonio Conte is willing to offer Juan Cuadrado a second chance at Stamford Bridge. Cuadrado signed for Chelsea in January 2015 from Fiorentina but was seen as a big-money flop after he failed to impress in his first season at Stamford Bridge following a £26m switch, and he then joined Juventus on-loan last season. The Serie A champions are keen to sign him on a permanent basis but Conte feels the Colombian winger could thrive in a 3-5-2 formation, according to the Daily Mail.
Benki ya Dunia yaipa Tanzania fedha zaidi
Waziri aeleza ugumu usambazaji sukari
SERIKALI imesema licha ya kuingiza nchini tani 41,000 za sukari usambazaji wake umekuwa wa kusuasua kutokana na kukosekana kwa ushirikiano kati ya wakuu wa mikoa na wasambazaji. Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage alisema hayo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya sukari nchini. Alisema serikali imefanya jitihada katika kuagiza sukari lakini usambazaji umekuwa wa kusuasua na kusababisha baadhi ya maeneo kuwa na upungufu. Mwijage alisema hesabu za wataalamu kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani zinahitajika tani 40,000 kwa mwezi na hadi kufikia Juni 13 mwaka huu tayari tani 41,000 zilikuwa zimewasili bandarini, lakini changamoto kubwa imeonekana kuwepo kwenye usambazaji wa bidhaa hiyo. Sambamba na hilo, wakuu wa mikoa na wilaya wameagizwa kuwasiliana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Florens Turuka ili kuwasilisha mahitaji ya sukari kwenye maeneo yao. Alisema sukari ipo lakini tatizo lipo kwenye usambazaji unaosababishwa na ukosefu wa ushirikiano. “Tulishasema sukari ipelekwe kila mkoa kwa ujazo mkubwa kuanzia tani 300-500 ili kudhibiti uhaba wa sukari, tukiwauliza wenye sukari wanasema sukari ipo lakini ukiwauliza wanunuzi wanasema sukari hakuna,” alisema Mwijage. Hata hivyo alisema wizara hiyo imeandika dokezo kwa wahusika wenye sukari wapeleke kiasi gani kwa kila mkoa na kuwaomba watendaji wa Serikali na viongozi wenye dhamana wawasiliane na Katibu Mkuu ili awasiliane na wasambazaji waweze kupeleka sukari mikoani maana ni kweli kuna tatizo la sukari . Alisema namna ya kutatua tatizo hilo ni viongozi wa mikoa kufuatilia na kutoa maelekezo wanahitaji tani ngapi katika mikoa yao kama walivyofanya wakuu wa mikoa ya Mwanza na Manyara.
Serikali mbioni kufungua ubalozi mpya Qatar
TANZANIA inatarajia kufungua ubalozi wake nchini Qatar kwa lengo la kuendeleza na kuimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano kati ya nchi hizo huku ikitilia mkazo katika sekta za gesi asilia, utalii, usafiri wa anga na mawasiliano. Rais, Dk John Magufuli alisema hayo jana Ikulu, Dar es Salaam alipokutana na kuzungumza na Balozi wa Qatar nchini, Abdallah Jassim Al Maadadi. Pamoja na kutangaza kuufungua ubalozi wake nchini Qatar, Magufuli amemuomba balozi huyo kufikisha ujumbe kwa Kiongozi wa Qatar, Shehe Tamim bin Hamad Al Thani na Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Qatar kwamba zipo fursa nyingi za ushirikiano zinazoweza kufanyiwa kazi, huku akibainisha uwepo wa gesi asilia zaidi ya futi za ujazo trilioni 57 na mpango wa kufufua Kampuni ya Ndege ya Taifa (ATCL). “Najua Qatar ina uzoefu katika maeneo hayo na sisi Tanzania tungependa tushirikiane nanyi kuwekeza na kubadilishana uzoefu ili fursa hizo zilete manufaa kwa pande zote mbili,” alisema Rais Magufuli. Naye Balozi Al Maadadi alimshukuru Rais Magufuli kwa nia yake ya kufungua Ubalozi wa Tanzania nchini Qatar na kuimarisha zaidi ushirikiano na uhusiano na nchi hiyo, na ameahidi kufikisha ujumbe kwa kiongozi wa Qatar na jumuiya ya wafanyabiashara Qatar waje kuwekeza Tanzania. Wakati huo huo, Rais Magufuli amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ambaye pia Spika mstaafu wa Bunge, Anne Makinda, Ikulu, Dar es Salaam. Baada ya mazungumzo hayo, Makinda alisema mazungumzo yao yameihusu NHIF na kwamba amemhakikishia kuwa amejipanga kuona mfuko huo uliobeba matumaini ya huduma za matibabu ya Watanzania unaboreshwa zaidi na dosari zinazolalamikiwa na wanachama zinafanyiwa kazi.
Wednesday, June 15, 2016
Mkapa: Najuta
RAIS Mstaafu, Benjamin Mkapa haachi kujuta kutokana na baadhi ya yale aliyoyatenda kwenye utawala wake, anaomba Watanzania wamsamehe, anaandika Wolfram Mwalongo. Kinachomfanya kujuta ni hatua ya utawala wake kukabidhi ‘injini ya uchumi’ wa taifa hili kwa wawekezaji chini ya ‘sera ya ubinafsishaji.’ Mkapa alikabidhi mashirika ya umma mikononi mwa wawekezaji bila kuwa na mkakati wa kusimamia ili sera yake iwe na tija kwa taifa. Rais Mkapa alihudumia nchi hii kama rais kuanzia mwaka 1995 hadi 2005. Alipokea madaraka hayo kutoka kwa Rais Ali Hassan Mwingi aliyehudumia nchi kuanzia 1985 mpaka 1995, aliyeanza kuhudumia taifa hili kwenye ngazi hiyo ni Mwalimu Julius K. Nyerere tangu Uhuru 1961. Akiwa kwenye Tamasha la Nane la Kigoda cha Mwalimu Nyerere lililofayika kwenye Ukumbi wa Nkurumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam jana Mkapa amekiri kwamba, hatua ya kuleta sera ya ubinafsishaji bila kuweka chombo maalum cha kudhibiti kumesababisha hasara. Si mara ya kwanza kiongozi huyo mstaafu kusema maneno hayo hasa anapozungumzia maswala mazito katika utawala wake. “Kukosekana kuundwa mfumo mzuri wa udhibiti kumesababisha kuwepo kwa watu waliotumia fursa hiyo kwa maendeleo yao binafsi na si kwa Taifa. “Kwenye uongozi wangu kitu abacho mpaka sasa ninajuitia ni kuanzisha sera ya ubinafsishaji na kushindwa kuweka mfumo au chombo cha kuudhibiti,”amesema Mkapa. Mara kadhaa wachumi wa kitaifa wamekuwa wakikosoa utawala wa Mkapa kwa kuita wawekezaji na kuwapa ‘mali’ za taifa katika misingi mibovu ya uangalizi wake na kusababisha kuteketea kwa mali hizo. Miongoni mwayo ni viwanda, mashirika ya umma pamoja na Benki. Mkapa kwenye tamasha hilo amesema “kuhusu ubinafsishaji huo ndio kitu naweza kukiri nilikosea na ninachoweza kuwaomba Watanzania msamaha.” Mashiriki mengi ya umma pamoja na viwanda vilivyokabidhiwa kwa wawekezaji kutoka nje vilikufa na wengine kutumia mali hizo za taifa katika kujipatia mikopo na kufanya mambo mengine nje ya malengo yaliyokusudiwa. Hata hivyo, Mkapa amesema “nilifanya kosa lakini hatuwezi kusema ubinafsishaji haufai kwa sababu ulisaidia kuleta mabadiliko na na kuongeza uzalishaji katika mashirika yaliyokuwa yameshindwa kuendeshwa na serikali.” Ametoa mfano kwamba, “wakati mimi naingia madarakani viwanda vya sukari vya Mtibwa, Kagera, na Kilombero vilikuwa vikizalisha tani 120,000 hadi 130,000 lakini wakati naondoka niliacha vinazalisha tani 300,000. “Mtibwa ilikuwa imeishakufa kabisa, lakini tuliweza kukirudisha na baada ya mimi kuondoka vimeendelea kuzalisha lakini inashangaza kuona miaka 17 wameshindwa kuongeza uzalishaji.” Hata hivyo Mpaka alirudisha lawama kwa Watanzania kwamba, wana hulka ya kuzungumzia zaidi watu kuliko kuzungumzia sera na kuziboresha ili ziwe na tija kwa taifa. Kwenye hotaba yake Mpaka amesema kuwa, Mwalimu Nyerere alishughulishwa katika kutafuta maendeleo ya Watanzania na kwamba, hakupinga ubinafsishaji kwenye taifa hili. “Mwalimu Nyerere alikubali dhana ya ujasiriamali, uwekezaji, ushindani, ubunifu, ufanisi na utengenezaji wa faida vitu ambavyo viko sambamba na Ubepari,” amesema Mkapa na kuongeza; “Vitu alikuwa anavitaka Mwalimu ni baadhi ya mambo mabaya ya Ubepari ikiwemo unyonyaji na mgawanyo wa faida usio sawa na ndio maana akaweka Azimio la Arusha akilenga kuwa na jamii ya usawa isiyo na unyonyaji.” Akizungumzia ubinafsishaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) amesema, Mwalimu Nyerere aliona faida za ubinafsishaji na kwamba, aliona umuhimu wa kuibinafsisha benki hiyo. “Kuhusu NBC Mwalimu si kwamba alikuwa anapinga kuibinafsisha bali ni namna ambavyo inaweza kuwanufaisha wananchi baada ya kuibinafsisha,” amesema Mkapa.
Maalim Seif: prof. Lipumba hana nafasi CUF.
JUHUDI za Prof. Ibrahim Lipumba, kurejea katika nafasi yake ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), zimegonga mwamba, anaandika Pendo Omari. Maalim Seif Sharif Hamad, katibu mkuu wa chama hicho taifa, “amekataa kubariki” hatua za Lipumba kurejea katika nafasi hiyo; hata kuwania nafasi nyingine yoyote katika chama. Maalim amekaririwa akisema hayo wakati wa kujibu swali la mmoja wa waandishi wa habari wa Tanzania anayefanya kazi zake nchini Marekani. Alisema, Prof. Lipumba “alijuzuulu mwenyewe miezi minane iliyopita. Hakulazimishwa; yeye mwenyewe alionyesha nia ya kutaka kujiuzulu.” Anasema, “watu wengi, wakiwamo wazee na mashekhe, walimfuata kumuambia tafadhali usijiuzulu; lakini akaendelea na azma yake. Akajiuzulu.” Maalim Seif anasema, Prof. Lipumba hakushindikizwa na mtu kujiuzulu, barua yake aliipokea na kuipeleka kwenye Baraza Kuu la Uongozi (BKU) ambako wajumbe kwa kauli moja, wakaridhia kuachia ngazi. “Baraza Kuu wakaipokea taarifa ile, wakachagua Kamati ya Uongozi ya muda ya kuongoza chama mpaka hapo atakapo patikana mwenyekiti mpya. Kamati ile bado ipo na Maalim Seif hana uwezo wa kuiondoa.” Akiongea kwa sauti ya ukali, Maalim Seif alisema, “Kamati ile imewekwa na Baraza Kuu la uongozi la taifa. Haiwezi kuondolewa na Maalim Seif na huwezi kuwa na uongozi juu ya uongozi.” Msimamo wa Maalim Seif unashahabiana na ule wa Naibu Katibu mkuu wa CUF Visiwani, Nassor Ahmed Mazrui, anayesema kuwa Prof. Hana nafasi katika chama chake.” Anasema, “Prof. Lipumba hana nia njema. Anataka kuja kuiharibu CUF. Anataka kuharibu mipango yetu.” Akiwa anahaha kurejea katika nafasi yake ya uenyekiti wa CUF, Prof. Lipumba amesema ameamua kurejea tena katika nafasi yake kutokana na “kuombwa na makundi ya wanachama na viongozi wa dini…” Amesema ametafakari kwa kina maombi hayo huku akizingatia hali halisi ya siasa ya Visiwani ambayo kwa sasa si shwari. Uamuzi huo anasema, ameuchukua kwa kuzingatia Ibara ya 117 ya katiba ya CUF inayoelezea kwa undani jinsi kiongozi anavyoweza kujiuzulu na kurejea tena ndani ya chama hicho. Taarifa zinasema juhudi za Prof. Lipumba kurudi kileleni zinalenga kuvunja nguvu za Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) zilizodhihirika wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka jana. Hata hivyo, habari kutoka ndani ya CUF zinasema, shinikizo la kutaka Prof. Lipumba kurejea katika nafasi yake bila kufanyika uchaguzi, linatokana na baadhi ya wapambe wake kunusa kuwa kiongozi huyo hawezi kushinda katika uchaguzi wa ndani ya chama. “Baada ya kuona Prof. Lipumba hawezi kushinda uchaguzi, viongozi wake wawili (majina tunayo), wakatengeneza mkakati ili arejeshwe katika nafasi yake,” ameeleza kiongozi mmoja wa chama hicho aliyeko Buguruni, Dar es Salaam. Amesema, “lakini nataka nikuambie, Prof. Lipumba hana tena nafasi ndani ya CUF. Kuruhusu Prof. Lipumba kurejea CUF akiwa mwenyekiti ni kutaka kuangamiza Ukawa. Nasi tunajua kuwa Ukawa umeumiza sana CCM. Hatutakubali.” Prof. Lipumba alijivua nafasi ya mwenyekiti Agosti mwaka jana, katikati ya vuguvugu la uchaguzi mkuu, huku mgombea wa Ukawa, Edward Lowassa akitikisa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichosimamisha John Pombe Magufuli.
Valencia reject Chelsea bid for Andre Gomes, according to Sky sources
Chelsea have had a £32m bid rejected by Valencia for their Portugal international Andre Gomes, according to Sky sources. It is understood Valencia are keen to drive up the fee for Gomes, due to a sell-on clause between themselves and his former club Benfica. It is a stance that has left Valencia and Chelsea approximately £10m apart in their valuation of the player.
Premier League Opening day fixtures:
Arsenal v Liverpool Bournemouth v Manchester United Burnley v Swansea City Chelsea v West Ham United Crystal Palace v West Bromwich Albion Everton v Tottenham Hotspur Hull City v Leicester City Manchester City v Sunderland Middlesbrough v Stoke City Southampton v Watford
Premier League fixtures 2016/17
Jose Mourinho and Pep Guardiola will not have to wait long to renew their rivalry with the first Manchester derby of next season to take place at Old Trafford on September 10. Mourinho, who replaced Louis van Gaal at United this summer, clashed regularly with Manuel Pellegrini's successor Guardiola while in Spain and they will go head-to-head immediately after the first international break of the season, with the return game at the Etihad on February 25, 2017. Champions Leicester begin their defence at promoted Hull City on August 13, while Mourinho takes his team to Bournemouth and Guardiola's City host Sunderland.
Ronald Koeman will also take charge of his new club for the first time when Everton take on Tottenham at Goodison Park and there is also a high-profile clash between Arsenal and Liverpool at the Emirates. Meanwhile, new Chelsea boss Antonio Conte faces a fiery opening game with the visit of West Ham, who play their first league game at the Olympic Stadium a week later against Bournemouth. Burnley's return to the Premier League sees them host Swansea, while Middlesbrough are at home to Stoke in their first game since winning promotion from the Championship. Mourinho's first reunion with Chelsea will be at Stamford Bridge on October 22, while former Southampton boss Koeman must wait until November 26 before his return to the south coast. Manchester United, who played the last game at Upton Park last season, will be the last visitors to White Hart Lane as Tottenham say goodbye to their old ground on May 13.
Monday, June 13, 2016
Spain defend title with chance to make history
Reigning champions Spain's campaign to make history by winning the treble has already started off the pitch, but on Monday afternoon they will need to prove themselves where it counts.With their selection, La Roja have created an impressive aura and a team filled with legends.Their pedigree is flawless starting with Vicente del Bosque, who has an enviable CV, both as a player and a coach.At the official press conference, he was accompanied by Iker Casillas, who is the most capped European with 167 appearances for his country, as well as a World Cup and two European Championship wins under his belt.He has also won numerous titles while at Real Madrid and been voted the world's best goalkeeper five times.Alongside Casillas were Andres Iniesta with 107 caps and 31 titles with club and country as well as Sergio Ramos, who was played 131 times for Spain and has 14 major titles to his name.They have a wealth of international experience to guide the team through Euro 2016 with the aim of lifting the trophy for a third consecutive time.Much has been written about the importance of winning your debut game to psyche yourself up for the rest of the month-long tournament.In 2008, with Luis Aragones as coach, they won their opening match and then the title with a goal from Fernando Torres.Two years later, with the Marquis at the helm, they actually lost their first game against Switzerland but went on to win the World Cup in South Africa.Then, in Euro 2012, they were held to a draw by Italy in the opener but learnt their lesson well to beat the same club 4-0 in the final.Two years ago, there was the unfortunate poor performance in the 2014 World Cup which saw the squad fly home earlier than expected.So Spain know the pain of defeat as well as the euphoria of winning titles and the best way to put the memory of Brazil behind them is by getting off on the right foot.Spain are higher in the ranking than the Czech Republic and are superior in all facets of the game, so it is really a question of demonstrating it on the pitch.The coach said his side's two great virtues are their experience and magnitude - and he is right to draw attention to them.These are players who know how to compete but they just need to make sure they are not distracted, as they can be at times, or obsessed with scoring the second goal before they have got the first.It is simply a question of being patient.Their rivals have a greater past than present but are well-organised tactically, strong and physical, and will want to emulate Georgia and defeat the reigning champions.
Sunday, June 12, 2016
HAZARD WANTS NAINGGOLAN
Chelsea midfielder Eden Hazard has urged compatriot Radja Nainggolan to ditch Roma and move to Stamford Bridge. The Belgian pair are currently on international duty at Euro 2016 and Hazard has taken the opportunity to try and convince his national team-mate to become his club team-mate. “He [Nainggolan] is one of the best midfielders in the world,” Hazard claimed in a pre-match press conference. “Courtois and I would like him to come to Chelsea. It does not depend on us of course.”
Dunga: Alves will do well at Juventus
Dani Alves announced his departure from Barcelona more than a week ago, and even though there has not been official confirmation of his signing for Juventus, Brazil coach Dunga said that the defender will do well in Italy.The right-back, who turned 33 years old last month, left the Catalan club as a free agent even though he had one more year left in his deal, and because of a clause included in his contract."He will do well in Juventus with his mentality, yes he will do very well," said Dunga.The coach played for six years in Serie A himself and discussed what Alves might need to do to adapt to a different style of football."They play very tactical football, with solid teams defensively."Alves learned to win in Barcelona and he will join another team who are also expected to deliver."Juve want to build a good team for the Champions League considering they are the favourites to win the Serie A title again," he concluded.Alves is playing the Copa America with Brazil and on Monday they will face Peru in a match that will decide a spot in the quarterfinal.
Juventus want Kroos if Real Madrid are to sign Pogba
"Kroos plus 120 million euros are the demands made by the Italian club"
Real Madrid will have to give up Toni Kroos as part of any deal to sign Paul Pogba from Juventus.If the Madrid club make Juventus a formal offer for the highly sought-after midfielder, they will be told that the player will cost 120 million euros, plus the German international. Although Pogba would be open to a move to the Estadio Santiago Bernabeu, the Turin club does not want to sell.However, if the French star does leave the Serie A champions, then Juventus are eyeing Kroos as his replacement, as the German is similar to his French counterpart and is believed to be highly thought of by the club's sporting director Fabio Paratici.The situation with Pogba could change depending on how events unfold at Euro 2016 this summer, but the current asking price will likely remain costly for Los Blancos.
Friday, June 10, 2016
Real Madrid rule out De Gea signing
While their summer transfer window is expected to be a busy one, Real Madrid will not be enlisting David De Gea as Zinedine Zidane remains committed to Keylor Navas.The Costa Rican goalkeeper has enjoyed a wonderful campaign with Los Cules, convincing the Frenchman of his talents in the process.Manchester United star De Gea has long been a target for the Spanish side and there was a likelihood that the Spaniard would make the move this summer after the fax machine fiasco of 2015.That appears not to be the case with the Spaniard set to remain in Manchester as the Jose Mourinho era begins in earnest.A meeting held between the shot-stopper's agent Jorge Mendes and Real's hierarchy confirmed that the club's goalkeeping options will not change this summer.Kiko Casilla has settled perfectly with the group and the former Espanyol man is comfortable being the first port of call should Navas be unavailable.The French coach, whilst looking to add to his team this summer, is aware of the value of continuity in key positions and Navas staying will be a huge boost to the defensive line.Madrid president Florentino Perez is an admirer of De Gea and it was thought that the issue could become a catalyst for conflict this summer with ZIdane so keen to keep the former Levante goalkeeper.In the end, Perez has acquiesced with the decision not to restart negotiations for the Manchester United star solely made by Zidane.Related tags Marca English
Ronaldo: I am the best player of the last 20 years
With the focus on Cristiano Ronaldo ahead of the start of Euro 2016, the Real Madrid forward has claimed he is the best footballer in the last 20 years.Portugal's hopes of international glory have normally rested entirely on Ronaldo's shoulders in recent years, yet there is hope the upcoming European Championship will be different.The emergence of young stars Renato Sanches, Andre Gomes and Rafa Silva have given a nation hope of upsetting the odds in France.That said, he does remain the talisman and the former Manchester United forward told Italian magazine 'Undici' that he believed he was the best over the past two decades."I'm the best player in the last 20 years, this isn't just my opinion, the results show this," he explained.Euro 2004 was heartbreaking for Portugal's captain and his tears following the 1-0 defeat to Greece in the final were shown around the world.12 years' on and Ronaldo's pride in representing his country has not diminished one iota. "Portuguese people love their country and I am proud to represent it in international competitions. "After Euro 2004 I realised that I am an inspiration for many young people."Lionel Messi's talent has seemed to be more natural and refined whilst his counterpart has often appeared more ruthless and rugged.The Portuguese says this is due to how he has reached the summit of world football."I've worked very hard to get where I am and I continue to do so. "I have the same attitude to training as I do towards matches. "The best always make history in their sport and I have done that and will continue to do it for many more years."
De Gea and Muniain implicated in sexual abuse case
Updated 10/06/2016 15:52 CET
Spanish national team footballers David de Gea and Iker Muniain have both been implicated in the ongoing case against pornography entrepreneur Ignacio Allende Fernandez, better known as Torbe.A witness in the case - in which Torbe is accused of human trafficking for purposes of sexual exploitation, sexual assault, child pornography, prostitution, extortion and money laundering - has testified that she was abused by Muniain, after De Gea arranged the meeting, which was said to be between her, Muniain and another player, who at first was thought to be Isco but has yet to be revealed.Muniain is alleged to have had sex with the woman in 2012, while De Gea is alleged to have arranged the meeting, though he wasn't physically present.
According to eldiario.es, the arm of the national police force tasked with such matters has attributed a "high degree of credibility" to the women's testimony, and to those of two other women.They have also ruled out the possibility of "motives existing to discredit those denounced for economic or personal reasons".The victim's statement, made in front of agents, details a number of instances of harassment by the Torbe network, including an incident involving the Manchester United and Athletic Club players in a five-star Madrid hotel in 2012.
JUVENTUS EYE PELLE
JUVENTUS EYE PELLE Juventus remain interested in signing Southampton striker Graziano Pelle this summer, says Tuttomercatoweb.com. The Serie A champions are understood to be willing to pay €8m for the Italy international, 30, who is contracted to St Mary's until the end of June 2017.
Graziano Pellè is an Italian professional footballer who plays as a striker for English club Southampton and the Italy national team. Born: July 15, 1985 (age 30), San Cesario di Lecce, Italy Height: 6′ 4″ Weight: 185 lbs Salary: 800,000 EUR (2013) Current teams: Italy national football team (#9 / Forward), Southampton F.C. (#19 / Forward) Parents: Roberto Pelle, Doriana Pelle
JUVENTUS TO REJECT REAL'S €120M POGBA BID
Juventus are set to turn down Real Madrid's €120m offer for midfielder Paul Pogba, says Mediaset Premium. The European champions are reportedly preparing to make a big-money bid for the Frenchman, but despite its size, Juve will reject Real's advances as they look to keep the player in Turin this summer.
Source:
Sky sports
DE GEA WELCOMES MOURINHO ARRIVAL
Man Utd No 1 David de Gea has welcomed Jose Mourinho's arrival as manager at Old Trafford. "I came to United to win trophies and it is true that these last two years we have not been at the level this club deserves," he told Spanish radio network Cadena Ser. "But hopefully, with the change of coach, United will be back at the highest level."
PEDRO: PEP WONT HAVE IT EASY
Chelsea forward Pedro fears Pep Guardiola, his former coach at Barcelona, could be in for a rude awakening at Man City next season. Guardiola, 45, was appointed to succeed Manuel Pellegrini as City coach after spending three years as Bayern Munich boss. "Although we know he is a great coach, Pep is not going to have it easy," Pedro, who played under Guardiola at Barcelona for four seasons before the coach's departure in 2012, told Marca. "It's a difficult league, complicated. I don't think he will be able to express his football."
Zlatan Move to Man utd is on hold
Zlatan Ibrahimovic's move to Man Utd is on hold until after Euro 2016 after Sweden's head coach said "it would not be okay" for him to fly to England and complete the deal. "Players have their leisure time on the schedule, what they do then there's nothing I can do to control. But it would not be okay for Zlatan to fly to Manchester," Emrik Hamren told a press conference at Sweden's base in Nantes. "I'm one hundred percent sure (the furore) it will not affect Zlatan. He has been in the business a long time. He handles it perfectly."
Radamel Falcao ready for pre-season training with Monaco
Radamel Falcao appears ready to start pre-season with Monaco after being away from the Ligue 1 club for the last two seasons. Sky Bet Football Betting £10 Completely Free The Colombia forward spent the 2014-15 campaign on loan with Manchester United and returned to England last season with Chelsea. Neither loan spell was particularly successful, mainly because of injury, with Falcao managing to score only five goals in 36 Premier League appearances across the two stints. The 30-year-old was linked with a move to Middlesbrough on Friday, but he seems more likely to be back in the south of France when pre-season opens. Falcao was not included in Colombia's squad for Copa America. He said on Instagram: "June 24 will initiate training with @asmonaco. Excited and committed to start the pre-season with the club."
Wenger admires Ng'olo Kante
Arsene Wenger has hailed N'Golo Kante as an incredible and unique player he hugely admires as the Leicester City midfielder continues to be linked to a move elsewhere after a stunning debut season in the Premier League. "I admire and like N'Golo Kante a lot. He gives you ideas," the Arsenal manager told beIN Sports. "He gives you the feeling that the higher the level he plays at, the more at ease he is. "We are talking about numbers. He has the most interceptions in Europe and by far. He has incredible quality. He feels the game, only very few people can do that. He's always where he needs to be. "It is very rare to have that in the central midfielder. Not always orthodox, but always in the right place."
Maneno Ya Wenger Hayoo..
Wednesday, June 8, 2016
Mkhitaryan nearing Gunners switch from Borussia Dortmund, claim reports
Henrikh Mkhitaryan has rejected a contract extension from Borussia Dortmund Getty
The Sun report that Wenger has prioritised adding midfield cover to his squad this summer as he looks to repair the damage done from a disappointing campaign in the Premier League. Liverpool and Sevilla are among the clubs considered to also harbour an interest in the former Shakhtar Donetsk midfielder. Aware that previous frugality in the transfer market has caused upset among the Emirates crowd, Arsenal have moved quickly this time around and hope to secure Mesut Özil, Héctor Bellerín and Alexis Sánchez on new terms following the £30m acquisition of Granit Xhaka from Borussia Mönchengladbach. Wenger also remains optimistic of signing record-breaking striker Jamie Vardy from Leicester City after they met his £20m release clause last week.
ERIC BAILLY'S FIRST INTERVIEW AT UNITED
Eric Bailly spoke exclusively to MUTV about his pride and delight at joining Manchester United, immediately after completing his transfer from Villarreal CF on Wednesday afternoon. Subject to obtaining a work permit, the Ivory Coast international will become the fifth African international player to represent the Reds. The first signing under new manager Jose Mourinho, he could make his first appearance when United face German side Borussia Dortmund in Shanghai on 22 July as part of Tour 2016, presented by Aon. Bailly sat down with MUTV to discuss his arrival and what the future has in store for him at Old Trafford. You watch the interview in the video player above, and read a transcript below… Welcome to Manchester United, Eric. How does that sound? Firstly, thanks very much for the welcome. I'm really happy to be here at the biggest club in the world. It's a dream come true for me. I'm very happy to be here in Manchester. Now you have the badge on your chest, it must feel very special for you? It’s a real joyful moment for me. I’ve always dreamt of playing in English football. When Manchester United was mentioned I didn’t have to think twice. It’s a dream come true. I’m really happy I’m in Manchester. As you say, it did take a while to come to fruition, but now the contractual stuff is sorted out, I’m really happy. What do you make of the style of English football and how will it suit you? As you know, it is a different style to Spanish football; it’s more physical and maybe more direct as well. It’s a style of football I’ve always liked. I’ve always thought it would suit my style of football as well. I hope that I can get used to it and start to enjoy it over the coming months, years and seasons to come after that. It must feel like a whirlwind for you, given the way your career has taken off? Things have moved on pretty quickly career-wise but that improvement has been down to a lot of hard work that I’ve put in as an individual and with the team I’ve played for. It has been fast progress and development but I still feel I’m young. I need to develop even more and I hope to progress now I’m at this massive club. I think with working even harder I hope to progress as a player and I hope that involves winning trophies as well. You must hope to settle into the squad very quickly? I think it’s very important that I settle in quickly. I hope that with the coaching staff and the help of my team-mates that this process will be as quick as possible. It’s important to pick up the dynamic and the tempo of the football here as soon as the season starts. And as I say, hopefully with the help of everyone here I can do that quickly. You are the first signing of Jose Mourinho – that must be exciting? It is really very special. First and foremost as a young player it’s a real confidence boost that a manager with so much experience of English football has trusted in me by making me his first signing. Again it’s all about that settling-in period, hoping that I evolve and progress as a player as quickly as possible to get up to speed in the English league. Finally, do you have a message for the Manchester United fans around the world? My message to the fans would be thank you for the great welcome so far. I’ve noticed a positive reaction on social media and people are pleased to see me here. Being a young player arriving at a big club is great; it’s something that really helps me on the way. In return I hope to put a smile on the faces of Manchester United fans with my style of play and what I achieve at the club.
MANCHESTER UNITED SIGN ERIC BAILLY
Manchester United is delighted to announce that Eric Bertrand Bailly has completed his transfer from Villarreal CF, subject to successfully obtaining a work permit. Eric joins on a four-year contract with the option to extend for a further two years. Bailly, 22, made 47 appearances for Villarreal since joining on 29 January 2015. The Ivory Coast central defender has made 15 appearances for his country and was part of the 2015 Africa Cup of Nations-winning team, having appeared in all six matches during the competition. Bailly said: "It is a dream come true to be joining Manchester United. To play football at the highest level is all I have ever wanted to do. "I want to progress to be the best that I can be and I believe working with Jose Mourinho will help me develop in the right way and at the right club. I am looking forward to meeting my new team-mates and to starting this new chapter of my life." Mourinho said: "Eric is a young central defender with great natural talent. He has progressed well to date and has the potential to become one of the best around. "We look forward to working with him to help nurture that raw talent and fulfil his potential. Eric is at the right club to continue his development."
Tuesday, June 7, 2016
Mbarawa, Mwijage watakiwa kujipanga upya
Akizungumza katika uzinduzi huo mjini Dodoma jana, Majaliwa aliitaja miradi hiyo kuwa ni makaa ya mawe Mchuchuma na chuma Liganga, maeneo maalumu ya uwekezaji na kufufua Shirika la Ndege la Taifa (ATC), kazi ambayo itaanza Julai.
Zlatan Ibrahimovic 'still enjoying the stories' as he refuses to confirm Man Utd move
But during a Facebook Q&A that followed in Paris, Ibrahimovic was asked by one brave football supporter whether he could "announce and confirm" if he would be going to Manchester next season. "There is no confirmation," replied the Swede, who mistook the supporter for a journalist.
"You are a journalist, no? There is no saying 'yes' or saying 'no' so you will have to have patience. "I want you to keep wondering where I will go, keep making stories because I enjoy when these stories go out. When I feel tired I will let you know what my next destination is." Earlier Ibrahimovic said: "My future is A-Z. They will be wearing A-Z in Manchester also."
Ibrahimovic guided PSG to four championships in a row, winning the Ligue 1 Player of the Year award a record three times. Despite not being able to help PSG win the Champions League the Sweden captain said it was the right moment to call time on his career in the French capital "If I wanted, I could've stayed five more years," he added. "There comes a point where you've done everything. Mission accomplished."
Manchester City in talks over transfer for Pierre-Emerick Aubameyang - Sky sources
Pierre-Emerick Aubameyang is being linked with a move to Manchester City
Manchester City are in advanced talks with Borussia Dortmund over the signing of striker Pierre-Emerick Aubameyang, Sky sources understand.
Jose Mourinho settles with Eva Carneiro at employment tribunal
Chelsea and Jose Mourinho have reached a settlement with former team doctor Eva Carneiro over claims she was constructively dismissed by the club and discriminated against by its former manager. Manchester United manager Mourinho - who had not been expected to attend until he was due to give evidence next Monday and Tuesday - arrived at the tribunal in Croydon just after 1pm on Tuesday, along with Chelsea chairman Bruce Buck.
Their arrival delayed the start of day two, during which Carneiro was due to begin giving evidence, but after last-minute talks between the parties, a settlement was agreed shortly before 3.30pm. The case was expected to last seven to 10 days and on Monday it was revealed that Carneiro had refused £1.2m to settle her claims with Mourinho and Chelsea.
A statement on the club's official website read: "Chelsea Football Club is pleased to announce that it has reached an agreement with Dr Carneiro which brings her employment tribunal proceedings against the club and Jose Mourinho to an end. "The club regrets the circumstances which led to Dr Carneiro leaving the club and apologises unreservedly to her and her family for the distress caused. We wish to place on record that in running onto the pitch Dr Carneiro was following both the rules of the game and fulfilling her responsibility to the pl players as a doctor, putting their safety first.
"Dr Carneiro has always put the interests of the club's players first. Dr Carneiro is a highly competent and professional sports doctor. She was a valued member of the club's medical team and we wish her every success in her future career. "Jose Mourinho also thanks Dr Carneiro for the excellent and dedicated support she provided as First Team Doctor and he wishes her a successful career."
A statement from Carneiro read: "I am relieved that today we have been able to conclude this tribunal case. It has been an extremely difficult and distressing time for me and my family and I now look forward to moving forward with my life.
"My priority has always been the health and safety of the players and fulfilling my duty of care as a doctor. In running onto the pitch to treat a player, who requested medical attention, I was following the rules of the game and fulfilling my medical responsibilities. "I would like to thank everyone who has supported me including my husband, family and friends and members of the football community." A spokesman from Women In Football added: "Women in Football are delighted that Eva's name has been rightly cleared and her professional reputation as a doctor upheld. "Eva has been courageous in her fight for a public apology from Chelsea and acknowledgement that on the day in question she was simply doing her job. We completely deplore and condemn her treatment by the club since and welcome their unreserved apology."